Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yazua Balaa, Wengi Wamtaka Aache Maisha ya Maigizo


Nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..
  
Baadhi ya watu wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri.Soma Comments hapo chini kutoka ukurasa huo:
  
 dicksonmgesy
Jaman tumpe chachu ya maendeleo sio kumsifia zari hana tako ila ana mali na hela mpaka anatamani kujiteka. Huku sifa kuwa na tako lisilo na kitu. Hayaaaaa
  
 __dat__gal__
Sure @dicksonmgesy alf hcho kigali xx cha uyo wemaa maskin kawaidaaaa xnaaaa yani wema hana radhaaa hanaaa
  
 dicksonmgesy
 tangu awe mis mpaka leo ana nini? Angalia wenzake kama jokate hana jna kubwa ila ana mafanikio yeye anaishi maisha ya kuigiza yuko wap? Afike mahali ajitambue aache kufanya maonyesho sifa sio maendeleo tangu tuanze kumsifia tumeshawahi kumpa hata mia?
  
 Samgal
aache maisha ya maigizo, tunataka kuona maendeleo sio skendoz
  
 theysay0
@dicksonmgesy kila mtu na baraka zake na kwa wakati wake. How many people they hv bn trying and trying and reach their goals. Her time will come.
  
 hashypapito
Nilisikia wakisema wema shapeless kumbe walimaanisha shapeclass daaaah nampendaga bureeee
  
 wildsweetcandies
Haters don't really hate you @wemasepetu , they hate themselves; because you're a reflection of what they wish to be.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII

Previous
Next Post »
Thanks for your comment